Bamia (okra) inajulikana kwa kiasi kikubwa cha nyuzinyuzi za majimaji, na hivyo inaweza kusaidia kuboresha ute wa uke.
Ifuatayo ni namna ya kutumia bamia kuongeza ute ukeni:
1) Osha Na Kata Bamia.
Anza kwa kununua bamia nzuri na safi. Osha bamia kwa maji baridi na kisha kata sehemu zote zisizohitajika, kama vile mashina na miisho.
Unaweza kukata bamia kwa vipande au kuiacha yote kulingana na jinsi unavyopenda.
2) Chemsha Bamia.
Weka bamia katika sufuria ya maji yanayochemka na chemsha kwa muda wa dakika 5-7 au hadi iwe laini lakini isiyoiva sana.
Usipike bamia kwa muda mrefu sana kwani inaweza kuwa laini sana na kupoteza manufaa yake ya nyuzinyuzi.
3) Kula Bamia.
Baada ya kuandaa na kuchemsha bamia sasa unaweza kula bamia iliyopikwa.
Bamia pia inaweza kuchanganywa na mboga nyingine.
4) Kujaribu Juisi Ya Bamia.
Unaweza pia kutengeneza juisi ya bamia kwa kusaga bamia iliyokatwa vizuri na maji, na kisha kunywa juisi hiyo.
Juisi ya bamia inaweza kuwa njia rahisi ya kuchukua faida ya nyuzinyuzi za majimaji katika bamia.
Soma pia hii makala: Dawa Ya Asili Ya Kuongeza Ute Ukeni.
HITIMISHO:
Ni muhimu kumbuka kwamba kula bamia mara kwa mara inaweza kusaidia kusawazisha uzalishaji wa ute ukeni, lakini hakuna chakula au nyongeza ya chakula inayoweza kutoa matokeo ya haraka.
Ili kuongeza ute ukeni na kuboresha afya ya uke kwa ujumla, ni muhimu kudumisha lishe bora na afya, kunywa maji ya kutosha, na kuepuka mambo yanayoweza kusababisha ukavu wa uke kama vile msongo wa mawazo, dawa zinazosababisha ukavu, na bidhaa za kuosha uke zenye kemikali nyingi.
Lakini pia, kwa uhitaji wa updates, vitabu (e-books) bure kuhusu afya jisajili (subscribe) kupitia email yangu kwa kubonyeza hii link: https://isayafebu.beehiiv.com/subscribe
Je Unasumbuliwa Na PID, Fangasi Sugu Au UTI Sugu Kwa Muda Mrefu Bila Kupata Suluhisho La Uhakika?
Kiasi ambacho umeshajikatia tamaa na huelewi ufanye nini ili kutatua changamoto yako inayokunyima usingizi?
Kama jibu ni NDIYO, basi usiwe na wasiwasi kwani nimekuletea suluhisho la changamoto yako…
Huhitaji kuendelea kutumia dawa za mahospitali ambazo umekuwa ukitumia kwa muda mrefu bila kupona…
Suluhisho halisi kwa changamoto yako aidha ni PID, FANGASI SUGU au Uti sugu utalipata kupitia kitabu (soft copy) kitakachokupa muongozo wa kujitibia changamoto yako uwapo mazingira ya nyumbani kwako…
Gharama ya kitabu hicho mara zote ni TZS 10,000/= ila kwa kuwa leo hii ni sherehe ya kumbukizi ya siku yangu ya kuzaliwa (birthday) nitakupatia kwa bei ya OFA ya TZS 3000/= tu (okoa 7,000/= nzima)…
Ili Kupata OFA hiyo Lipia kwenda Tigo Pesa namba 0653211873 (Isaya Febu Msemwa) Kisha nitumie muamala wako WhatsAPP Kwa kubonyeza hapa: https://wa.me/+255625305487
PS: Ofa hii itaisha kesho saa 6:00 mchana, weka oda yako mapema Kwani ukiikosa leo, kuipata tena mpaka mwakani tarehe kama ya leo.
Mimi nipo Nzega, nawezaje kupata vipimo vya uzazi, mimi na mke wangu
Ndio inawezekana…nipigie 0625305487
Na hitaji kujuwa gharama ya vipimo
gharama ya vipimo-Tsh 20,000/=